ETHIOPIA YAJITOA CECAFA MWENYEJI KUTAFUTWA

ETHIOPIA YAJITOA CECAFA MWENYEJI KUTAFUTWA

Like
212
0
Friday, 07 November 2014
Slider

CECAFA yakuna kichwa kumpata mwenyeji wa mashindano ya Challenge mwaka huu ni baada ya Ethopia kujitoa dakika ya mwisho

Afisa habari wa CECAFA Rodgers Mulindwaalipozungumza n E.sport kutoka mjini Kampala nchini Uganda amesema baraza hilo kwa sasa lipo katika mazungumzo mazito na nchi YaSudani kuona uwezekano wakubeba jukumu hilo la uenyeji wa challenge

 

Comments are closed.