Filimbi ya Kagame Cup Kuanza Kupulizwa Leo

Filimbi ya Kagame Cup Kuanza Kupulizwa Leo

Like
637
0
Friday, 29 June 2018
Sports

Kikosi cha JKU

Kikosi cha Vipers SC

Kikosi cha Azam FC

Kikosi cha Kator FC

Kikosi cha Singida United

Kikosi cha APR FC

Michuano ya Kagame Cup inaanza rasmi leo kwa mechi tatu kupigwa ambapo saa 8 mchana JKU ya Zanzibari itaanza kibarua chake dhidi ya Vipers SC kutoka Uganda.

Baadaye saa 10 mechi ya rasmi ya ufunguzi itakuwa baina ya mabingwa watetezi, Azam FC dhidi ya Kator FC kutoka Sudan Kusini. Baada ya mechi hiyo majira ya saa 1 jioni, Singida United itacheza na APR ya Rwanda.

Tutarajie nini kwenye Mashindano haya ??

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *