January Makamba ahusishwa sakata mo

January Makamba ahusishwa sakata mo

Like
578
0
Monday, 22 October 2018
Local News

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kumhoji kwa saa kadhaa na kumwachia Waziri January Makamba kuhusiana na tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohammed Dewji. Kupitia ukurasa wake wa Twitter waziri huyo ameandika, hajakamatwa na polisi na kuwa yupo salama.

“Polisi walinipigia simu kuniomba, kama rafiki wa Mohamedi Dewji, niwasaidie kama kuna chochote cha ziada ambacho Mo aliniambia kinachoweza kusaidia uchunguzi. Niliwaeleza wakasema kinafanana na alichowaeleza, wakanishukuru. Wamefanya hivi pia kwa wanafamilia. Sikukamatwa”. amesema J.Makamba

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *