KAMANDA MURILO ASEMA KUHUSU AFISA BALOZI WA SYRIA

KAMANDA MURILO ASEMA KUHUSU AFISA BALOZI WA SYRIA

Like
562
0
Wednesday, 21 March 2018
Local News

Kamanda Jumanne Murilo

 

 

Kamanda wa jeshi la Polisi mkoa wa kipolisi wa Kinondoni Jumanne Murilo, amezungumza na waandishi wa habari katika ofisi zake kuhusu kushambuliwa kwa nondo Afisa wa ubalozi wa Syria nchini H. Alfaori na kuibiwa Euro 93,000 sawa na Shilingi Milioni 251 za Kitanzania jana March 20.

Hata hivyo kamanda mulilo amesema, kwasasa jeshi la polisi litaongea na ofisi nyingine za nje kabla ya kuajiri wawe wanaomba polisi iwasaidie jinsi kuwachunguza wale waliowapitisha wakitaka kuwaajiri.

Comments are closed.