Kanye West adai kofia ya Trump imempa nguvu za Superman, akosoa shule za siku hizi

Kanye West adai kofia ya Trump imempa nguvu za Superman, akosoa shule za siku hizi

1
519
0
Friday, 12 October 2018
Global News

Si jambo la kushangaza kusikia Kanye West mmoja kati ya wasanii maarufu zaidi duniani katika miondoko ya kufoka foka amekutana na Rais wa Marekani Donald Trump.

Kwa muda mrefu sasa amekuwa akionyesha hisia zake wazi wazi za kumsifu Trump kupitia ukurasa wake wa Twitter na mahojiano mbali mbali.

Hata hivyo amekuwa akiwakosoa wanaomkemea kwa kuwataka wamwache awe na uhuru wa mawazo yake.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *