Kimbunga Mangkhut chaua watu 30 Ufilipino chasambaa mpaka Hong Kong

Kimbunga Mangkhut chaua watu 30 Ufilipino chasambaa mpaka Hong Kong

Like
559
0
Monday, 17 September 2018
Global News

Watu zaidi 30 wameuawa baada ya kimbunga Mangkhut kupiga kaskazini mwa Ufilipino.

Wengi kati yao walikumbwa na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa.

Maeneo mengi ya kisiwa cha Luzon yamejaa maji, yakiwemo mashamba ambayo huzalisha mazao makuu nchini humo ya mpunga na mahindi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *