LIGI KUU TANZANIA BARA KUENDELEA WIKIENDI HII

LIGI KUU TANZANIA BARA KUENDELEA WIKIENDI HII

Like
212
0
Friday, 03 October 2014
Slider

Kivumbi cha ligi kuu soka Tanzania bara kinaendelea tena wikiendi hii kwa timu kumi kushuka katika madimba matano tofauti,ambapo katika uwanja wa taifa jijini wenyeji simba watawakaribisha vijana toka shinyanga-stand united,Mtibwa dhidi ya mgambo jkt,ruvu shooting dhidi ya mbeya city,prisons na azam na polisi morogoro wakikipiga dhidi ya kagera.

Comments are closed.