Makamo wa Rais Samia Suluhu  amezindua Ukuta wa Bahari Katika Barabara ya Barack Obama

Makamo wa Rais Samia Suluhu amezindua Ukuta wa Bahari Katika Barabara ya Barack Obama

Like
687
0
Tuesday, 05 June 2018
Local News

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kushoto akiwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira, January Makamba wakikata utepe

Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu, na Waziri, January Makamba wakikagua Ukuta wa Bahari

Wananchi walio hudhuria kwenye uzinduzi huo

Meza kuu

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amezindua Ukuta wa Bahari katika barabara ya Barack Obama wenye urefu wa mita 920 ambao umejengwa chini ya ufadhili wa Mfuko wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabia Nchi wa Dunia. ( Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *