maporomoko ya ardhi yaua uganda

maporomoko ya ardhi yaua uganda

Like
979
0
Friday, 12 October 2018
Global News

 

Takriban watu 40 wameripotiwa kufariki katika wilaya ya Bududa Mashariki mwa Uganda baada ya mvua kubwa inayoendelea kunyesha huko kusababisha mto Tsuume kuvunja kingo zake na kusomba takriban nyumba 100.
Shughuli za uokoaji zinaendelea.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *