Team ya Efm imewasili salama kwenye viwanja hivi vya Bwawani, Kibaha, na Maandalizi yanaanza
Washiriki wanaanza kupewa semina kuwa tayari kuingia kwenye mpambano wa kushika ndinga.
Watu wa huduma ya kwanza wakiwa tayari kutoa huduma ya kwanza kwa yeyote atakayepatwa na tatizo kwenye eneo hili la Bwawani kibaha, kushika ndinga # Tunapindua Meza Kibabe
Wananchi walio wahi mapema kabisa kushuhudia watu wakishika ndinga hapa hapa kwenye viwanja vya Bwawani, Kibaha
Kiwanja ambacho cha kushindanisha washiriki kipo tayari na sasa muda wowote kuto muda huu zoezi la kushika ndinga linakwenda kuanza # tunapindua meza kibabe
Kwenye Mashine ya Muziki anayetuburudisha kwenye viwanja hivi vya Bwawani Kibaha yupo RDJ AUTO RUN, Akitupa Visingeli
Timu yetu ya TV E wakiaweka mazingira mazuri kwa ajili ya kuchukua maukio yote yanayojili hapa kwenye viwanja hvi vya Bwawani Kibaha
Mpambano wa kushindanisha washindi umeshaanza na washiliki wamenza na zoezi la kujaza maji, hivyo tunasubiri matokeo kutoka kwa majaji, nani atatoka na nani atandelea na mpambano.
Matokeo ya Majaji yanatoa uamuzi kwamba Mshiriki Abdallah Mohamed, Ramadhani, Ima Lukindo wameaga mashindano baada ya kuwa na point chache ukilinganisha na point za wengine.
..