MATUKIO KWA PICHA, SHIKA NDINGA PWANI 93.7

MATUKIO KWA PICHA, SHIKA NDINGA PWANI 93.7

1
1339
0
Saturday, 12 May 2018
Entertanment

Swebe Akichimba Mashimo kwa ajili ya Kuweka Alama ndani ya uwanja wa mapambano

Team ya EFM ikiandaa kiwanja kwa ajli ya kushika ndinga ndani ya viwanja vya Bwawani Kibaha

 

Team ya Efm imewasili salama kwenye viwanja hivi vya Bwawani, Kibaha, na Maandalizi yanaanza

Washiriki wanaanza kupewa semina kuwa tayari kuingia kwenye mpambano wa kushika ndinga.

Washiriki waliofika katika viwanja hivi vya Bwawani wakiwa tayari kuanza mpambano wa kushika ndinga

Washiriki waliofika katika viwanja hivi vya Bwawani wakiwa tayari kuanza mpambano wa kushika ndinga

Watu wa huduma ya kwanza wakiwa tayari kutoa huduma ya kwanza kwa yeyote atakayepatwa na tatizo kwenye eneo hili la Bwawani kibaha, kushika ndinga # Tunapindua Meza Kibabe

Wananchi walio wahi mapema kabisa kushuhudia watu wakishika ndinga hapa hapa kwenye viwanja vya Bwawani, Kibaha

Kiwanja ambacho cha kushindanisha washiriki kipo tayari na sasa muda wowote kuto muda huu zoezi la kushika ndinga linakwenda kuanza # tunapindua meza kibabe

Burudani ikiendelea katika viwanja hivi vya Bwawani, Kibaha,

Jeshi la polisi likitoa usalama wa wananchi walifika kushuhudia watu wakishika ndinga

Kila kitu kipo sawa muda wowote tunaanza zoezi la kushika ndinga

Kwenye Mashine ya Muziki anayetuburudisha kwenye viwanja hivi vya Bwawani Kibaha yupo RDJ AUTO RUN, Akitupa Visingeli

Timu yetu ya TV E wakiaweka mazingira mazuri kwa ajili ya kuchukua maukio yote yanayojili hapa kwenye viwanja hvi vya Bwawani Kibaha

Mpambano wa kushindanisha washindi umeshaanza na washiliki wamenza na zoezi la kujaza maji, hivyo tunasubiri matokeo kutoka kwa majaji, nani atatoka na nani atandelea na mpambano.

Matokeo ya Majaji yanatoa uamuzi kwamba Mshiriki Abdallah Mohamed, Ramadhani, Ima Lukindo wameaga mashindano baada ya kuwa na point chache ukilinganisha na point za wengine.

Wananchi wakishuhudia mpambano mkali wa kutafuta washindi wa shika ndinga 2018

TTCL wakitoa huduma ya kuwapatia wananchi wa pwani line za bure na muda wa maongezi

Vilainishi vya Shell Advance wakitoa huduma kwa wananchi waliojitokeza eneo hilo

Baadhi ya Watu waliopanda juu ya miti ili waweze kuangalia kinachotokea

Muda wa kumtafuta wa kuchukua bodaboda.

..

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *