MKURUGENZI WA BOT TAWI LA DODOMA AFUNGUA SEMINA YA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU MASUALA YA UCHUMI NA FEDHA JIJINI DODOMA

MKURUGENZI WA BOT TAWI LA DODOMA AFUNGUA SEMINA YA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU MASUALA YA UCHUMI NA FEDHA JIJINI DODOMA

Like
1115
0
Monday, 10 December 2018
Local News

Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania tawi la Dodoma Bw. Richard Wambali aliyemwakilisha Dkt. Yamungu Kayandabila  Naibu Gavana anayeshughulikia Uchumi na Fedha akifungua  semina ya siku tano ya  waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali kuhusu masuala ya uchumi na fedha inayofanyika kwenye ukumbi wa (BOT) jijini Dodoma.

Katika semina hiyo wanahabari watapata ufafanuzi wa masuala  yanayoshughulikiwa  na benki hiyo pamoja na  mabenki ya biashara ya kifedha nchini Tanzania kwa kufuata sheria kanuni na taratibu zinazosimamiwa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Bi Zamaradi Kawawa na kushoto ni Bi. Zalia Mbeo Meneja Idara ya Uhusiano wa Umma na Itifaki (BOT).

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Bi Zamaradi Kawawa akizungumza katika semina hiyo inayofanyika kwenye tawi la Tenki Kuu jijini Dodoma katikati ni Mkurugenzi wa Benki Kuu Tawil la Dodoma Bw. Richard Wambali na kulia ni Bi. Zalia Mbeo Meneja Idara ya Uhusiano wa Umma na Itifaki (BOT).

Kaimu Meneja wa Idara ya Uhusiano na Itifaki, BoT, Bi. Vicky Msina akitoa maelezo ya utangulizi wa semina hiyo kabla ya kufunguliwa rasmi na Mkurugenzi wa Benki Kuu Tawi la Dodoma Bw. Richard Wambali.

Dkt. Suleiman Missango, Meneja Msaidizi-Idara ya Utafiti, Kurugenzi ya Sera za Uchumi na Utafiti, BoT akiwa na watoa mada wengine kutoka benki kuu tayari kwa kutoa mada katika semina hiyo.

Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa katika semina hiyo

Kaimu Meneja wa Idara ya Uhusiano na Itifaki, BoT, Bi. Vicky Msina akiwa pamoja na wanahabari wanaohudhuria semina hiyo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *