MPINZANI WA MAYWEATHER ATANGAZA KUACHA MUZIKI

MPINZANI WA MAYWEATHER ATANGAZA KUACHA MUZIKI

Like
263
0
Thursday, 22 January 2015
Entertanment

Hii ndio kauli ya bingwa wa masumbwi duniani kutokea nchini Ufilipino Manny Pacquiao kwenye vyombo vya habari

Pacquiao ametangaza rasmi kuachana kabisa na shughuri za kimuziki na kusema kwamba anaupenda muziki ila hadhani kama muziki unampenda

“I love music, but I don’t think music loves me.”

Pacquiao amesema hatotoa albam mpya tena .

Pacquiao kwa sasa anapromote documentary lakini hadi hivi sasa amesema anajivunia mafanikio aliyoyapata kupitia muziki, aidha Pacquiao ameongeza ya kuwa albam yake ya kwanza ilifikia mauzo ya platinum huko Ufilipino hivyo inatosha kwa yeye kuacha muziki

Comments are closed.