TETESI ZA MAGAZETI YA NG’AMBO

TETESI ZA MAGAZETI YA NG’AMBO

Like
245
0
Wednesday, 21 January 2015
Slider

TETESI ZA MAGAZETI:

Klabu ya Manchester United ipotayari kuvunja rekodi ya usajili kwa kuweka mezani kitita cha paundi milioni 112 ili kumsajili beki wa kati wa klabu ya PSG MARQUINHOS.

(Daily Mirror)

Klabu ya Everton ipotayari kumpiga bei mshambuliaji wao KEVIN MIRALLAS katika dirisha hili la usajili.

(Metro) 

Klabu ya Chealsea ipotayari kumsajili mshambuliaji wa klabu ya Fiorentina JUAN CUADRADO endapo watafanikiwa kuwauza wakina MOHAMED SALAH  na ANDRE SCHURRLE.

(Daily Mirror) 

Kiungo wa klabu ya Manchester City JAMES MILNER amesema kuwa anaweza kuihama timu hiyo wakati wowote kuanzia sasa na kutimkia katika ligi za Italy au Hispania.

(Guardian)

Klabu ya arsenal ipotayari kumsajiri beki wa kati wa klabu ya Villarreal GABRIEL PAULISTA katika kipindi hiki cha usajili.

(Telegraph)

Klabu ya Cristal Palace ipotayari kumsajili kiungo wa klabu ya Sevilla STEPHANE MBIA.

(Daily Mail)

Comments are closed.