MTU NA MPENZI WAKE WANG’ATWA NA FISI KICHAKANI

MTU NA MPENZI WAKE WANG’ATWA NA FISI KICHAKANI

Like
795
0
Monday, 14 May 2018
Local News

Mtu na mpenzi wake , wakazi wa wilaya ya Igunga, Tabora wameng’atwa na fisi kichakani walipotaka kufanya Mapenzi.

katika tukio hilo mwanamke Mwajuma Masanja (37) Mkazi wa kijiji cha Iduguta , alifariki baada ya kushambuliwa viabaya na fisiw huyo huku mpenzi wake , Shija Maneno (35) Akijeruhiwa vibaya wakati akimuokoa mpenzi wake. #TanzaniaDaima

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *