MWANZA: KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI

MWANZA: KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI

Like
257
0
Tuesday, 03 May 2016
Local News

WAKATI Leo ni kilele cha siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari, katibu wa baraza la habari Tanzania MCT-KAJUBI MUKAJANGA  amesema kuwa  uwepo  wa vikwazo mbalimbali katika uhuru wa vyombo vya habari ikiwemo uingiliwaj wa urushwaji wa matangazo ya bunge moja kwa moja unaweza kuchangia  kwa kiasi kikubwa urudishwaji nyuma wa  mafanikio yaliopatikana katika tasnia ya habari nchini.

Akizungumza na Efm Mukajanga amesema kuwa wadau wa habari wakiwemo waandishi wa Habari na serikali wana kazi kubwa ya kulinda mafanikio yaliopatikana katika tasnia hiyo kwa faida ya nchi  hasa kwa kuhimiza sera bora na utawala wa sheria.

Ameongeza kuwa inapaswa kila idara na taasisi kutambua majukumu yake na kuacha kuingilia baadhi ya kazi na majukumu ya taasisi au chombo flani.

maz1167746746609224_2052171256_o

 

Comments are closed.