Oktoba 14 ni maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa.

Oktoba 14 ni maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa.

Like
1530
0
Sunday, 14 October 2018
Local News


Leo Oktoba 14 ni maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Mwl. Nyerere alifariki dunia 14 Oktoba 1999 katika Hospitali ya Mtakatifu Thomas, mjini London, baada ya kuugua Saratani ya Damu. #NyerereDay –

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *