OSCAR PISTORIUS ATOKA GEREZANI

OSCAR PISTORIUS ATOKA GEREZANI

Like
263
0
Tuesday, 20 October 2015
Slider

Mwanariadha mlemavu nchini Afrika Kusini Oscar Pistorius ameruhusiwa kuondoka gerezani mwaka mmoja tu baada ya kufungwa jela kwa kosa la kumpiga risasi na kumuuwa mpenzi wake Reeva Steenkamp.

Aliachiliwa huru Jumatatu usiku badala ya Jumanne kama wengi walivyotarajia. Baada ya kuachiliwa huru, alielekea kwa mjomba wake Arnold Pistorius.

Pistorius ameruhusiwa kukamilisha kifungo chake cha miaka 5, akiwa nyumbani kwake.

Comments are closed.