OSCAR TAVERAS AFARIKI DUNIA KWA AJARI YA GARI

OSCAR TAVERAS AFARIKI DUNIA KWA AJARI YA GARI

Like
466
0
Monday, 27 October 2014
Slider

Oscar mwenye umri wa miaka 22 ambae ni nyota iliyokuwa ikichukia kwa kasi kwenye ulimwengu wa Baseball mzaliwa wa Dominican Republic, amaefariki yeye pamoja na mpenzi wake  Edilia Arvelo, mwenye umri wa miaka 18.

kwa mujibu wa msemaji wa timu ambayo Oscar alikluwa akiichezea enzi za uhai wake amesema ajari hiyo imetokea mara baada ya gari alilokuwa akieendesha mchezaji huyo kuacha njia na kupoteza uelekeo

AP_TAVERAS3_141026_DG_4x3_992

oscar Taveras enzi za uhai wake

 

 

 

 

 

 

 

 

 

AP_TAVERAS5_141026_DG_4x3_992

Oscar Taveras

 

 

kupitia mtandao wa twitter moja ya wachezaji wenzake Kolten Wong aliandika hivi”Wow! My heart truly hurts to hear the passing of Oscar! I’ve played with him every year and we truly lost a great person! #RIPOscarTaveras

tasnia ya mchezo wa Baseball imekuwa ikipata na mikasa ya ajari kwa baadhi ya wachezaji wake kama Nick Adenhart. Josh Hancock. Brian Cole. Mike Darr. And now, Oscar Francisco Taveras ambae alikuwa akitazamiwa kuwa mchezaji nyota siku za mbeleni

 

Comments are closed.