PAMBANO LA FLOYD MAYWEATHER V MANNY PACQUIAO LINAKARIBIA

PAMBANO LA FLOYD MAYWEATHER V MANNY PACQUIAO LINAKARIBIA

Like
251
0
Thursday, 15 January 2015
Slider

Lile pambano la uzito wa juu lililokuwa likisubiliwa kwa hamu kati ya bondia anaesifika kwa kutopigika raia wa Marekani Floyd Mayweather na bondia mfilipino Pacquiao lipo kwenye hatua za mwisho za maandalizi.

Pacquiao ambae anashikilia mkanda wa dunia wa WBO wakati Mayweather anashikilia mkanda wa WBC na WBA

Pambano hili linasubiriwa kwa hamu saana maana hawa mabondia wawili wanatajwa kuwa mabondia bora katika kipindi hiki ila hawajawahi kukutana kwenye ulingo

 

Comments are closed.