GENOVEVA ANONMA: NILILAZIMIKA KUVUA NGUO KUTHIBITISHA KUWA MIMI NI MWANAMKE

GENOVEVA ANONMA: NILILAZIMIKA KUVUA NGUO KUTHIBITISHA KUWA MIMI NI MWANAMKE

Like
294
0
Thursday, 15 January 2015
Slider

 

Richa ya kutukanwa na kudharaulika zaidi kupitia nyakati ngumu mpaka kwenye maisha ya Familia yake mchezaji huyu hakukatishwa tamaaa katika kuifikia ndoto yake.

Nyota yake ilianza kung’aa pale alipoitumikia Equatorial Guinea mnamo mwaka 2008 katika michuano ya kombe la mabingwa Afrika wanawake

Alipokuwa Mfungaji wa bao la ushindi katika ardhi ya nyumbani na kuifanya timu yake kua ya kwanza kwa kuipiku Nigeria

Hapa ndipo changamoto zilizidi kwa Anonma kutokana na uwezo wake mkubwa kiuchezaji pamoja nguvu hii ilipelekea timu pinzani zianze kumtilia mashaka ya kuwa yeye ni mwanaume

Ndipo shirikisho la soka barani Afrika lilichagua njia ya kumkagua

Anonma amenukuliwa akisema

Waliniambia nivue nguo zote mbele ya maofisa wa CAF kiukweli nilichukizwa saana na nililia saana kutokana na udhalilishaji

Comments are closed.