PETER OKOYE WA P SQUARE AANGUKA JUKWAANI

PETER OKOYE WA P SQUARE AANGUKA JUKWAANI

Like
292
0
Wednesday, 01 October 2014
Entertanment

Muimbaji kutoka kwenye kundi la P square Peter Okoye jana alianguka jukwaani siku ya jumanne usiku  wakati anatumbuiza kwenye tamasha lililoandaliwa na Beat 99.9 FM’s Triple 9 huko Lagos Nigeria

tulio hilo lilitokea wakati P square wanaimba wimbo wao “BRING IT ON”   kutoka kwenye albam yao ya ‘Double Trouble’ wakati Peter aliposogea mbele kwenye ukingo wa jukwaa

Peter-Okoye-falls2

peter akiwa chini bada ya kuanguka

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

baada ya show hiyo Peter aliandika kwenye kurasa zake za Twitter na Instagram maneno yafuatayo

I fell off on stage and it wasn’t funny… Like we said” keep ur head up high and standing tall… I will surely bring it on” #sadFace #headingToTheHospital love u all!”

 

peter

 

Comments are closed.