Picha: Komaaa Concert Mwanza 2018

Picha: Komaaa Concert Mwanza 2018

Like
1688
0
Saturday, 28 July 2018
Komaa Concert

Picha zote za matukio yote ya Komaaconcert2018 Mwanza yapo hapa

Bell9 akifanya yake kwenye stage

Baadhii ya Wasanii watakao perfom kwenye Stage ya Komaaconcert2018 leo uwanja wa CCM Kirumba wakiwa kwenye picha ya Pamoja amber Lulu , Young D Jay Mo ,Aslay Shilole , Belle9 , Mansuli

Wakazi wa Mwanza  waliofika kwenye kiwanja cha Burudani, CCM Kirumba wakishuhudia burudani ya kumtafuta mwenye WOWO

Sehemu Wakazi wa 91.3 Mwanza waliofika kwenye uwanja wa Burudani siku ya leo CCM Kirumba Komaaconcert2018 kwa nguvu ya buku ya Bikotu

Mshindi wa bodaboda kutoka Biko akikabidhiwa bodaboda yake ndani ya Uwanja wa CCM Kirumba #komaaconcert 2018

Bodaboda kutoka Biko ikisubiri mshindi ambaye atapatikana kwa kuchezesha droo

RDJ Spur(Kushoto) akiwa na RDJ Autorun wakiwa kwenye Kiwanda cha Burudani kuhakikisha Muziki haukauki kwa Wakazi wa 91.3 Mwanza

Asistance Adminstrator wa Efm Redio na TV E, Sada Nassoro, akiwa kwenye RedCarpert ya #KomaaConcert2018Mwanza

Mama Biko (Kajala) akiwa kwenye redcarpet ya Komaaconcert2018 Mwanza

Wawakilishi kutoka Biko wakiwa kwenye Red

Msanii chipukizi kutoka mwanza akito burudani kwa wakazi wa Jiji la Mwanza

Tiketi za Biko za Kuingia ndani ya uwanja wa Burudani

Mmoja wa Timu ya Digtal, Salim Mlindila (Kushoto) wakijadiliana jambo na RDJ Spur

Mkuu wa Kitengo cha TV E , Joshi (Kushoto) akitoa akiyajenga

#KomaaConcert2018Mwanza OD (kushoto) @geoffreyn2000 akiyajenga na kiongozi wa ‘technical team’ @francis_nyoike
#HatupoiHatuboi

Timu ya Biko wanaohusika na hutoaji wa Ticket za kuingia ndani ya Kiwanja cha Burudani CCM Kirumba

Timu ya nzima ya ulinzi ya Biko  wakiwa eneo la tukio kuhakikisah kila anayeshinda na Biko basi anapewa Zawadi yake.

Eneo ambalo wageni rasmi watakapokaa na kushuhudia burudani itakayotokea ndani ya CCM Kirumba
KomaaConcert 2018

Timu nzima ya TV E ikiwa imejipanga kuweza kurusha kila kitu live kinachotokea kwenye uwanja huu waBurudani CCM Kirumba

Nguvu ya Biko inafanikisha kuandaa stage ya burudani

Bus lilobeba timu nzima ya Komaaconcert 2018 likiwasili kwenye uwanza wa Burudani CCM Kirumba Mwanza

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *