RADAMEL FALCAO HUENDA HATOICHEZEA MANCHESTER UNITED MSIMU UJAO

RADAMEL FALCAO HUENDA HATOICHEZEA MANCHESTER UNITED MSIMU UJAO

Like
249
0
Wednesday, 14 January 2015
Slider

 

Kiungo mshambuliaji kutoka Colombia Radamel Falcao anaepokea kiasi cha paundi 265,000 kwa wiki kuna uwezekano wa kutochezea tena katika klabu ya Man Utd

Hii imekuja mara baada ya wakala wa mchezaji huyo kusema Falcao ataichezea moja kati ya klabu kubwa duniani katika msimu ujao

Hayo yamesemwa na Jorge Mendes. Ambae ndie wakala wa

Comments are closed.