SIMBA KINARA KOMBE LA MAPINDUZI

SIMBA KINARA KOMBE LA MAPINDUZI

Like
432
0
Wednesday, 14 January 2015
Slider

Fainali za kombe la mapinduzi zimemalizika jana katika uwanaja wa Amani mjini Unguja huko zanzabar kwa kuwakutanisha vinara wa ligi kuu ya bara mtibwa sugar na wekundu wa msimbazi Simba

Ambapo imeshuhudiwa katika fainali hiyo Simba wakilibeba kombe kwa kuifunga mtibwa kwa mikwaju 4 – 3 baada ya kwenda suluhu kwa sare tasa katika dakika 90 za mchezo

Ushndi huo wa simba ni mwanzo mzuri kwa kocha wao mpya kabisa Mserbia Goran kopunorvic ambae amejiunga na club hiyo hivi karibuni kurithi mikoba ya kocha mzambia patrick phill alietimuliwa kwa staili ya aina yake

Comments are closed.