Raila asema lazima mabadiliko ya katiba Kenya yafanyike

Raila asema lazima mabadiliko ya katiba Kenya yafanyike

Like
397
0
Friday, 05 October 2018
Slider

 

Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga, amesema kwamba mabadiliko ya katiba ya nchi hiyo hayawezi kuepukika kwa namna yoyote ile na kwamba hata walio madarakani hawawezi kuzuia kura ya maoni kuhusu katiba, ili kusuluhisha matatizo yanayo ikabili nchi hiyo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *