Rais Magufuli Ashuhudia Utiaji Saini Daraja la Salander

Rais Magufuli Ashuhudia Utiaji Saini Daraja la Salander

Like
829
0
Monday, 23 July 2018
Slider

Rais John Pombe Magufuli na Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Korea Lee Nak-yeon leo wanashuhudia utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa daraja jipya la Selander jijini Dar na njia zake.

Hafla ya utiaji saini wa mkataba huo inafanyika Ikulu jijini Dar es Salaam ambapo serikali kupitia wakala wa barabara Tanzania (Tanroads) inatiliana saini na mkandarasi aliyeshinda zabuni ya ujenzi wa daraja hilo.

Daraja la Salander litaunganisha eneo la Aga Khan katika barabara ya Barack Obama na eneo la Coco Beach Katika Makutano ya baabara za Kenyatta na Toure.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *