RAISI WA PERU KUJIUZULU

RAISI WA PERU KUJIUZULU

Like
468
0
Thursday, 22 March 2018
Global News

Pedro Pablo Kuczynski

Rais wa Peru Pedro Pablo Kuczynski amepata kuwasilisha barua yake ya kujihuzulu bungeni hapo jana. Hii ni kutokana na tuhuma za kununua kura zinazomkabili na serikali yake, Amefanya hivyo kutokana na mchakato uliopambana moto wa kutaka kumng’oa madarakani

Comments are closed.