Samatta kuwindwa na vilabu vya  uingereza

Samatta kuwindwa na vilabu vya uingereza

1
1309
0
Tuesday, 09 October 2018
Sports

Imeripotiwa kuwa Klabu za Evarton, West Ham , Burnley na Brighton zinaiwinda saini ya mshambuliaji wa Genk na kapteni wa Taifa stars Mbwana Ali Samatta. Samatta ameonesha kiwango cha juu msimu huu ambapo mpaka sasa amefunga magoli 14 katika mechi 16 alizocheza.

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *