SERIKALI IMEAHIDI KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZINAZOLIKABILI JESHI LA ZIMA MOTO

SERIKALI IMEAHIDI KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZINAZOLIKABILI JESHI LA ZIMA MOTO

Like
316
0
Friday, 03 October 2014
Local News

 

Serikali imeahidi kushughulikia changamoto zinazolikabili Jeshi la Zima Moto na Uokoaji nchini ili kuliwezesha kutekeleza maajukumu yake kwa kuzingatia ongezeko la Ajali za Barabarani ambapo jeshi hilo pia lina jukumu la uokoaji katika Ajali mbalimbali.

Akizungumza katika uzinduzi wa baraza dogo la zima moto na uokoaji mjini Bagamoyo Mkoani Pwani, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi MUBARAKA ABDULWALIKI amesema

 

Comments are closed.