SERIKALI IMEFANIKIWA KUPUNGUZA VIFO VYA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO

SERIKALI IMEFANIKIWA KUPUNGUZA VIFO VYA WATOTO CHINI YA UMRI WA MIAKA MITANO

Like
333
0
Friday, 03 October 2014
Local News

 

Serikali imefanikiwa kupunguza tatizo la Vifo vya Watoto walio chini ya umri wa miaka 5 kutoka vifo 165 hadi kufikia vifo 54 ikiwa ni mojawapo ya malengo waliowekewa na Umoja wa Mataifa,Zaidi Dokta DONAN MMBANDO anafafanua

Kwa upande wake MONIKA MALLOMO ambaye ni Daktari wa watoto kutoka hospitali ya Sokoine Mkoani Lindi, amesema

 

Comments are closed.