Sheria ya Takwimu: Ni kweli Benki ya Dunia imezuia msaada wa $50m kwa Tanzania?

Sheria ya Takwimu: Ni kweli Benki ya Dunia imezuia msaada wa $50m kwa Tanzania?

Like
519
0
Wednesday, 03 October 2018
Local News

Kumekuwepo na taarifa kwamba Benki ya Dunia imezuia msaada wa Dola 50 milioni za Marekani ambao ulikuwa utolewe kwa serikali ya Tanzania.

Sababu iliyotolewa ni kwamba benki hiyo imeghadhabishwa na mabadiliko yanayotarajiwa kufanywa kwenye Sheria ya Takwimu ya mwaka 2015

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *