SHIKA NDINGA; 88.9 TANGA HODI HAPOOOH.

SHIKA NDINGA; 88.9 TANGA HODI HAPOOOH.

1
952
0
Friday, 13 April 2018
Entertanment

Timu ya wafanyakazi wa Efm na Tv E ilipo wasili katika uwanja wa Ramore Tanga kwaajili ya shindano la SHIKA NDINGA litakalofanyika kesho April 14 2018.

Picha ya pamoja wafanyakazi wa Efm & Tv E na TTCL Mara baada ya kuwasili katika mkoa wa Tanga na kufanya ziara fupi kwenye ofisi za TTCL mkoani hapa.

Comments are closed.