SHINIKIZO LA NDOA LAVUNJA UCHUMBA WA JORDIN SPARKS NA JASON DERULO

SHINIKIZO LA NDOA LAVUNJA UCHUMBA WA JORDIN SPARKS NA JASON DERULO

Like
231
0
Thursday, 02 October 2014
Entertanment

kupitia mtandao wa TMZ mwimbaji Jordan Sparks amedai kuwa chanzo cha kuvunjika kwa mahusino ya wawili hao yaliyodumu kwa muda wa miaka mitatu ni kitendo cha yeye kudai ndoa baina yao ili kuhalalisha mapenzi yao.

Jordan aliongeza kwa kusema kuwa haitaji kuwepo kwa aina yeyote ya mikwaruzano ama kusemana vibaya kati yake na aliyekuwa mpenzi wake na ndio maana aliamua kukaa kimya

 

Comments are closed.