JUSTIN BIEBER AMPIGA NGUMI MWANDISHI PARIS

JUSTIN BIEBER AMPIGA NGUMI MWANDISHI PARIS

Like
257
0
Thursday, 02 October 2014
Entertanment

Tukio hilo limetokea wakati Bieber na kundi la watu wake wakaribu wanaingia hotelini baada ya chakula cha usiku kwenye moja ya hoteli za huko Paris

picha inamuonyesha Justin Bieber akiwa katikati ya mapaparazi wakikwaruzana wakati anataka kupita katika eneo hilo kitendo kilichopelekea arushe ngumi kwa mmoja wa wapiga picha.

mwanamuziki huyo amekuwa akiandamwa na kesi za mara kwa mara ambapo  siku chache nyuma alituhumiwa kugonga Min Van ya mwanahabari.

Comments are closed.