UKAWA YALAANI UKIUKWAJI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA

UKAWA YALAANI UKIUKWAJI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA

Like
232
0
Thursday, 02 October 2014
Local News

Kamati ya Ufundi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi -UKAWA imetoa tamko la kulaani Ukiukwaji wa Kanuni za Bunge Maalum la Katiba linaloendelea mjini Dodoma pamoja na kulaani shutma dhidi ya viongozi wa dini zinazotolewa na Bunge hilo kuwa nao wamejiunga na UKAWA.

Kauli hiyo imetolewa na  Mwenyekiti wa Kamati hiyo ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara Mheshimiwa JOHN MNYIKA wakati Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dar es salaam

Naye Mjumbe wa Kamati hiyo ambaye pia ni Mwanasheria wa CHADEMA Mheshimiwa TUNDU LISSU alifafanua kwa upande wake.

Mh. Mnyika akizungumzia swala hilo

Comments are closed.