STEVE R&B AUAGA UBACHELA

STEVE R&B AUAGA UBACHELA

Like
409
0
Monday, 13 October 2014
Entertanment

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Steve r&b ameuaga ubachela baada ya kufunga ndoa na Naimana Kuyangana juzi Jumamosi, Oktoba 11

Steve ambae hivi karibuni ameachia ngoma yake mpya aliyoipa jina la polepole ni miongoni mwa wasanii wachache wanaotumia muda mrefu kuachia kazi zao kwa kuzipa nafasi ziendelee kufanya vizuri

kwa niaba ya timu nzima ya Efm 93.7 tunawatakia maisha mema yenye furaha na amani pia

MkewaSteve

mke wa Steve r&b Naimana Kuyangana

Comments are closed.