EFM REDIO

EFM REDIO: Tumefika Makao Makuu ya Nchi Dodoma City kwa Namba ya Bahati 92.5
Local News

  Makao Makuu 92.5 Dodoma unalipokea ukiwa eneo gani?...

1
657
0
Tuesday, 29 May 2018
EFM REDIO YATIMIZA MIAKA 4 YA MAFANIKIO
Entertanment

– EFM imetimiza miaka 4 tangu kuanzishwa kwake. Nitumie nafasi hii kuishukuru Serikali kuu,TCRA kwakuendelea kutulea na kutuamini hadi sasa tumeongeza wigo wa Matangazo yetu. Niwashukuru MaKampuni na wadau ambao wameendelea kushirikiana nasi kwa namna moja au nyingine. Mwisho niwashukuru sana wasikilizaji na watendaji wote wa Efm. DODOMA,MORO,TABORA,KIGOMA na ARUSHA tunawafikia Mwezi huu.. HAPPY BIRTHDAY...

3
554
0
Tuesday, 03 April 2018