EFM REDIO YATIMIZA MIAKA 4 YA MAFANIKIO

EFM REDIO YATIMIZA MIAKA 4 YA MAFANIKIO

3
550
0
Tuesday, 03 April 2018
Entertanment

– EFM imetimiza miaka 4 tangu kuanzishwa kwake. Nitumie nafasi hii kuishukuru Serikali kuu,TCRA kwakuendelea kutulea na kutuamini hadi sasa tumeongeza wigo wa Matangazo yetu. Niwashukuru MaKampuni na wadau ambao wameendelea kushirikiana nasi kwa namna moja au nyingine.

Mwisho niwashukuru sana wasikilizaji na watendaji wote wa Efm. DODOMA,MORO,TABORA,KIGOMA na ARUSHA tunawafikia Mwezi huu.. HAPPY BIRTHDAY @efmtanzania

Comments are closed.