Simba Sc Mzigoni Leo Kuikabili Njombe Mji

Simba Sc Mzigoni Leo Kuikabili Njombe Mji

Like
518
0
Tuesday, 03 April 2018
Sports

Simba itakuwa inakibarua dhidi ya wenyeji wa mji huo, Njombe Mji FC, katika mchezo wa ligi kuu bara utakaopigwa majira ya saa 10 jioni leo.

Njombe Mji itakuwa inaikaribisha Simba ikiwa na kumbukumbu mbaya za kuondoshwa nje ya michuano ya Kombe la Shirikisho na Stand United ya mjini Shinyanga.

Tayari timu zote mbili zimeshakamilisha maandalizi kuelekea mchezo mchezo huo wa leo.

Comments are closed.