india

Mtoto Mchanga Ajeruhiwa Na Chui Nchini India
Global News

Mtoto mchanga wa miezi minne katika jimbo la Magharibi mwa India la Gujarat amejeruhiwa baada ya chui kumnyakua kutoka mikononi mwa mama yake. Mtoto huyo anaendelea kupatiwa matibabu kwa majeraha aliyoyapata, pamoja na Mama yake kwani na yeye pia alijeruhiwa. Mama huyo alikuwa amembeba mtoto wake huku akiwa ameketi nyuma ya mumewe ndani ya gari wakati waliposhambuliwa na chui huyo. Kilio cha baba yake cha kuomba msaada kilisikika kwa wanakijiji kilichopo jirani ambao walikimbia na kumuondoa mnyama huyo. “Walianza kupiga...

Like
721
0
Tuesday, 31 July 2018