mazishi

HABARI PICHA: Mke wa Kibonde azikwa Makaburi ya Kinondoni Dar es Salaam
Local News

  Jana  July 13, 2018 Familia, ndugu, jamaa na marafiki wa karibu na mtangazaji Ephraim Kibonde wameuaga na kuuzika mwili wa marehemu Sara Kibonde ambaye ni mke wa mtangazaji Kibonde nyumbani kwake, Ubungo Kibangu na kisha baadae kuupumzisha mwili wake katika makaburi ya Kinondoni. E Digital imekuwekea  baadhi ya matukio kwa picha zilizo ripotiwa na Team yetu E Digital na kuziweka pia kwenye Ukurasa wetu wa Instagram  ...

Like
4907
0
Saturday, 14 July 2018