profesor jay

LADHANI LEO, 26 March
Music

Professor Jay ndani ya Nyumba Professor Jay: Naamini basata ni wazazi na walezi wa muziki Professor Jay: Niliposikia nyimbo zinafungiwa nilishtuka, nafikili basata wanatakiwa kukaa na vijana kuweza kuwaelekeza Professor Jay: Kwa dunia ilivyo sasa sidhani hizi contents za kawaida sana sioni kama shida Professor Jay: Kweli tunaitji kujitune kufuata utamaduni wetu lakini tuliangalie hili Professor Jay: Unapoongelea serikali ni chombo kikubwa sana, na hata baraza la sanaa ni kama mzazi. Professor Jay: Kulidharau baraza la Sanaa si vizuri,...

Like
1022
0
Monday, 26 March 2018