LADHANI LEO, 26 March

LADHANI LEO, 26 March

Like
1018
0
Monday, 26 March 2018
Music

Professor Jay ndani ya Nyumba

Professor Jay: Naamini basata ni wazazi na walezi wa muziki

Professor Jay: Niliposikia nyimbo zinafungiwa nilishtuka, nafikili basata wanatakiwa kukaa na vijana kuweza kuwaelekeza

Professor Jay: Kwa dunia ilivyo sasa sidhani hizi contents za kawaida sana sioni kama shida

Professor Jay: Kweli tunaitji kujitune kufuata utamaduni wetu lakini tuliangalie hili

Professor Jay: Unapoongelea serikali ni chombo kikubwa sana, na hata baraza la sanaa ni kama mzazi.

Professor Jay: Kulidharau baraza la Sanaa si vizuri, kinachotakiwa ni kukaa na baraza na kuongea nayo

Professor Jay:Yaha ni kweli vijana  wanakosea, na sisi ni kama kolodoza, tumechonga barabara haawa madogo wanapita kwenye njia imenyooshwa

Professor Jay: Pagamisa ni neno la kizuru maana yake pukutisha, au usikate tamaa

Professor Jay: Lengo la huu wimo ni kuwapa funzo vijana, wasikate tamaa, wapambane mpaka kieleweke

Professor Jay: Unajua mimi  sasa ni mwanasiasa so siku hizi nikishasema wadau watasema mimi nasema kwa ajili ya upande wa chama

Professor Jay: wimbo huu target yangu ni kuwini market ya umri wote, wale kitambo, na wasasa

Professor Jay:  Video ya Pagamisa imeshatoka inapatika kwenye chanel yangu ya Youtube

 

 

Comments are closed.