zimbabwe

Uchaguzi Zimbabwe: Ghasia zazuka kati ya upinzani na maafisa wa usalama
Global News

Ghasia zimezuka nchini Zimbabwe kati ya wafuasi wa upinzani na vikosi vya usalama katika mji mkuu wa Zimbabwe huku kukiwa na maandamano dhidi ya kucheleweshwa kwa matokeo ya uchaguzi Magari yaliobeba maji ya kuwatawanya waandamanaji na vitoa machozi yalitumiwa katika barabara muhimu za mji wa Harare baada ya wafuasi wa chama cha upinzani cha MDC Alliance kuweka vizuizi katikati ya mji huo. Mtu mmoja aliyekuwa miongoni mwa waandamanaji ameuawa kwa kupigwa risasi na polisi. Muungano wa Ulaya umeonyesha wasiwasi wake...

Like
332
0
Thursday, 02 August 2018
Wengi Wajitokeza Kwnye Vimbabwe
Global News

Milolongo mirefu imeshuhudiwa katika vituo vya kupigia kura, kwenye uchaguzi ambao chama cha upinzani kinatarajia ushindi dhidi ya chama cha ZANU PF ambacho kimeitawala Zimbabwe tangu ijipatie...

Like
369
0
Tuesday, 31 July 2018