TETESI ZA SOKA

TETESI ZA SOKA

Like
467
0
Wednesday, 25 April 2018
Sports

 

Arsenal inaamini inaweza kumshawishi aliyekuwa mkufunzi wa Barcelona Luis Enrique kuchukua mahala pake Arsene Wenger kama meneja wake.
Mkuu wa uhusiano katika klabu hiyo hiyo Rail Sanllehi alifanya kazi na Enrique katika klabu ya Barcelona.. (Mirror)
Mkufunzi wa zamani wa Chelsea Carlo Ancelotti, ambaye ni mkufunzi mwengine anayepigiwa upatu kumrithi Wenger amepewa kazi ya kuifunza timu ya taifa ya Italy.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *