Ugonjwa wa Virusi vya corona Kuvuruga utaratibu wa chanjo kwa watoto .

Ugonjwa wa Virusi vya corona Kuvuruga utaratibu wa chanjo kwa watoto .

Like
304
0
Thursday, 04 June 2020
Global News

Mamilioni ya watoto wanaweza kupoteza maisha kutokana na maradhi yanayoweza kuzulika kwa sababu ya kukatizwa kwa programu za chanjo kutokana na virusi vya corona ambapo wataalam wametahadharisha.

Shirika la Afya duniani limeshauri nchi nyingi kusitisha chanjo ili kusaidia kudhibiti kuenea kwa virusi vya corona ambapo takribani nchi 68 zimeathirika na  baadhi zikisitisha kabisa kampeni za chanjo.

Lakini sasa makundi kadhaa ya wataalamu wanaona kuwa kutakuwa na madhara ya muda mrefu kutokana na hali hii Mfuko wa Umoja wa Mataifa unaoshughulikia watoto (Unicef), Taasisi ya chanjo, Sabin na Shirika la Chanjo la Gavi pia yameonesha wasiwasi kuwa maelfu ya watoto watapoteza maisha kwa sababu zinazoweza kuzuilika.

Wahudumu wa afya wakielekeza nguvu yao kuhudumia matatizo mengine kama kupata vifaa vya chanjo hospitalini Lakini Polio, ambayo inaweza kusababisha kupooza au hata kifo, pia inarejea- wagonjwa wanne wapya wa polio wameripotiwa tangu mwezi Februari.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *