Urusi yaanza Vema Mashindano ya Kombe la Dunia baada ya Kuibebesha Zigo la Mabao Saudi Arabia

Urusi yaanza Vema Mashindano ya Kombe la Dunia baada ya Kuibebesha Zigo la Mabao Saudi Arabia

Like
501
0
Thursday, 14 June 2018
Sports

Dakika 90 zimemalizika katika Uwanja wa Luzhniki kwa wenyeji Urusi kuibuka na ushindi wa kishindo wa mabao 5-0 dhidi ya Saudi Arabia katika mechi ya ufunguzi wa michuano ya Kombe la Dunia.

Mechi hiyo ya aina yake imeshuhudiwa bao la kwanza likiwekwa kimiani mnamo dakika ya 12 na Ganzizky ambalo limeandika rekodi ya kuwa bao la kwanza katika mashindano ya Kombe la Dunia kwa mwaka huu.

Mabao mengine yametiwa kimiani na Cheryshev (43′ minutes, 90’+1), Dzyuba (71′ ) na Golovin (90’+4).

Baada ya wenyeji kuanza vizuri, mechi zingine za kesho zitakuwa ni Iran itakayowakaribisha Morocco na vilevile Ureno itakuwa inacheza dhidi ya Spain.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *