WACHEZAJI WA TENNIS KUKUTANA ARUSHA

WACHEZAJI WA TENNIS KUKUTANA ARUSHA

Like
266
0
Friday, 07 November 2014
Slider

Wachezaji wa Tennis Nchini watakutana mjini Arusha siku ya Jumamosi tayari kwaajili yamichuano ya kupandisha viwango vyao ilikujiwekatayari kwa mashindanombalimbali ya kimataifa

Kocha wa mchezo huo Kiango Kipingu ameiambia E.sport kuwa wachezaji hao wanaianza safari yao leo kuelekea Arusha huku chama cha Tennis taifa kikiwakimegharamia safari hiyo

 

Comments are closed.