WANACHAMA YANGA WAKOSOA MFUMO WA MAXIMO

WANACHAMA YANGA WAKOSOA MFUMO WA MAXIMO

Like
192
0
Friday, 07 November 2014
Slider

Wanachama Yanga waibuka na kukosoa mfumo wakocha Mbrazil Maxio Maxmokuendelea kuwatumia wachezaji wa kigeni – Jaja na Countinhokatika kila mechi hatakamawachezaji haowanaonekana hawapo vizuri kimchezo

Akizungumza na E.sport mwanachama aliyewahi kuwania nafasi ya Mwenyekiti klabu hiyo ya Jangwani John Jambele amesema mfumo huo wa kocha maximo pamoja nakuchelewa kufanyamaamuzi kubadilisha wachezaji kutokana na ugumu wamechi husika umechangia kupoteza mechi zao mbili tangu ilipoanzakutimuaVumbi

Msemaji wa Yanga Baraka Kizuguto ameipinga kauli hiyo akisema kuwa kazi ya mwalimu haipaswikuingiliwa na wanachama

Comments are closed.